Viwanja Arusha

aspen

JF-Expert Member
Jul 13, 2011
501
165
jamani naomba kuuliza vipi kuhusu viwanja vile vya burka arusha mbona halmashauri ya jiji imekaa kimya kama mnataarifa tujuzwe
 
Madiwani wa magwanda wana mgogoro ulioanzishwa na uongozi wa magwanda, wamelimwa barua wajiuzulu wao wamegoma kujiuzulu, tunangoja sakata la madiwani wa magwanda kwanza liishe ndio tuulizie hizo habari zingine.
 
Madiwani wa magwanda wana mgogoro ulioanzishwa na uongozi wa magwanda, wamelimwa barua wajiuzulu wao wamegoma kujiuzulu, tunangoja sakata la madiwani wa magwanda kwanza liishe ndio tuulizie hizo habari zingine.
vile viwanja viko Arusha DC sio Arusha municipality,madiwani wenye mgogoro wako Ar municipality.
 
HTML:
Madiwani wa magwanda wana mgogoro ulioanzishwa na uongozi wa magwanda, wamelimwa barua wajiuzulu wao wamegoma kujiuzulu, tunangoja sakata la madiwani wa magwanda kwanza liishe ndio tuulizie hizo habari zingine.

Good morning madam
 
Huyu diwani Malla nilishamshtukia siku nyingi sana ni mamluki Chadema kwanini mkamkubali huyu fisadi?
 
wewe upo wapi? viwanja walipata kina Riz 1, January, Kina Lowasa, Matilda.... na wenye mabawa kama yao.... raia wa kawaida hata waliokuwa na nafasi 10 za kupata hawakupata.. mbona tumeshasahau habari hiyo???.....
 
Madiwani wa magwanda wana mgogoro ulioanzishwa na uongozi wa magwanda, wamelimwa barua wajiuzulu wao wamegoma kujiuzulu, tunangoja sakata la madiwani wa magwanda kwanza liishe ndio tuulizie hizo habari zingine.
Sakata la madiwani wa magwanda liko manispaa ya Arusha, na mgogoro wa viwanja uko halmashauri ya arusha(v), baada ya uchaguzi mkuu walitoa majina ya watu waliopata viwanja vya burka wengi wao walikuwa vigogo ka kina marmo, kimei wa crdb, watoto wa lowassa, riz1, sophia simba, wilson kabwe, matajiri wa kihindi wa arusha ka kina jandu na vigogo wengi ambao huishi Dar huku wanaarusha wengi wao wakiwa middle class, ikiwemo na mimi ambaye nilijaza form 6 ambao walijipanga foleni kuanzia saa 1 asubuhi na kulipia elfu kumi ya form waliambulia patupu, na tuliwasilisha hili suala kwa mbunge wetu mh. Goodluck Ole Medeye ambaye pia ni naibu waziri wa ardhi ila bado hajashughulikia swala hili. Kutoka ktk kata yetu ambayo iko chini ya CDM tulimtuma diwani wetu kwa kushirikiana na madiwani wengine 6 wa CDM walifuatilia suala hili bila mafanikio kukiwa na kila dalili kuwa mkurugenzi hana jibu kwani na yeye ni kama alikuwa anapokea maagizo toka juu kuhusu ugawaji wa hivo viwanja so nafkiri nguvu ya umma ichukue mkondo wake ktk hili suala
 
Kama tutaendelea na serikali kama hii kwa miaka kadhaa, I will assure you kuwa Tanzania will have many homeless people all over...and slums will exceed that of Kibera....tuwe macho jamani nchi imechukuliwa na wachache...
 
Ok ina maana bado una mgogoro na mliyopata hamjaoneshwa viwanja vyenu lakini mmeshavilipia kama ni hivyo mnasubiri nini eneo mnalijua kapige mita zako za mraba piga fensi then anza ujenzi waache upuuzi wao wameshawaona makondoo
 
Madiwani wa magwanda wana mgogoro ulioanzishwa na uongozi wa magwanda, wamelimwa barua wajiuzulu wao wamegoma kujiuzulu, tunangoja sakata la madiwani wa magwanda kwanza liishe ndio tuulizie hizo habari zingine.
Wewe mbibi wewe! Uliambiwa na nani halmashauri ya wilaya ya Arusha inaongozwa na hao unaowaita magwanda?
 
Back
Top Bottom