Viwanja 10 vya ndege Afrika vyenye hekaheka

Viwanja 10 vya ndege Afrika vyenye hekaheka

inchaji

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2019
Posts
2,654
Reaction score
5,462
Pamoja na kuwa tuna vivutio vingi vya kitalii, Tanzania hatumo.

Tunakwama wapi?

Screenshot_20251228-110958_Instagram.jpg
Screenshot_20251228-110946_Instagram.jpg
 
😃 Ndege zenyewe za ndani kama daradara,yani ndege inatoka dar inshuka tabora inaruka tena kahama inakwenda mwanza yani wanashuka na wanaingia wengine.

Makodi na matozo serikali ya ccm yanafanya safari za ndege kuonekana kama anasa.

Ubinafsi ambao utaki kuruhusu makampuni mengine.

La mwisho sisi hatuna uthubutu wa kusafiri.Mfano tu hapo ulipo nenda wilaya nyengine utaanza kujifikiria itakuwaje.
 
Back
Top Bottom