Viwango vya kutunuku matokeo Csee 2016. Mimi PC.

Viwango vya kutunuku matokeo Csee 2016. Mimi PC.

UZZIMMA

JF-Expert Member
Joined
Nov 20, 2014
Posts
414
Reaction score
483
Watu ninaowauliza wananichanganya. Kila mtu anasema lake. Basi kwa mwenye uhakika anijuze, kuhusu A,B,C inaanzia ngapi hadi ngapi ili nijikadilie. Mimi ni PC wa CSEE 2016.
 
ME NIMETOKEA PC NA NILIFAULU KWA JUMLA YA DIV2 YA POINT 19
WASTAN NI ULE ULE UNAOTUMIWA NA SC NDO HUO UNAOTUMIKA HATA KWA PC
MFANO,
100-75=A
74-65=B
45-64=C
35-44=D
00-34=F
HIV NDO VIWANGO VINAVYOTUMIKA KWA CSEE
MAANDALI NA MSULI UWE WA KUTOSHA
DHID YA HAPO PEPA NJEMA!
 
ME NIMETOKEA PC NA NILIFAULU KWA JUMLA YA DIV2 YA POINT 19
WASTAN NI ULE ULE UNAOTUMIWA NA SC NDO HUO UNAOTUMIKA HATA KWA PC
MFANO,
100-75=A
74-65=B
45-64=C
35-44=D
00-34=F
HIV NDO VIWANGO VINAVYOTUMIKA KWA CSEE
MAANDALI NA MSULI UWE WA KUTOSHA
DHID YA HAPO PEPA NJEMA!
Umekosea kwenye F na D
 
Watu ninaowauliza wananichanganya. Kila mtu anasema lake. Basi kwa mwenye uhakika anijuze, kuhusu A,B,C inaanzia ngapi hadi ngapi ili nijikadilie. Mimi ni PC wa CSEE 2016.
A=75-100, B=65-74, C=45-64, D=30-44, F=0-29
 
E Waliitoa waraka wa mwezi wa pili ila kwa matokeo ya form six wameya tengua tena wamerudisha E na S ambazo mwaka huu zimeongezewa wigo wa alama na kubakia na thamani hile hile ya mwanzo .Ni marks mpya baada ya mtihani
 
Aisee, nashukuru kwa kunipatia ufafanuzi huu. Sasa nimeshajikadilia.
 
Back
Top Bottom