viwandani.....!

viwandani.....!

top kibobo

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2013
Posts
203
Reaction score
107
Wanajf naomben kwa yeyote anayeweza kunifahamisha nafas ya kaz viwandani hata kubeba mizigo kupakia kwenye magar au kupanga bidhaa ghalan hata wakat wa usiku niko tayar. kiwanda chochote kile
 
Wanajf naomben kwa yeyote anayeweza kunifahamisha nafas ya kaz viwandani hata kubeba mizigo kupakia kwenye magar au kupanga bidhaa ghalan hata wakat wa usiku niko tayar. kiwanda chochote kile

msaada jaman....mmmmh tuoneane huruma
 
msaada jaman....mmmmh tuoneane huruma

kama kweli unaweza kubeba mizigo . njoo hapa Export Trading mbagala rangi 3 kuna kazi nyingi za kupakia mizigo na kushusha . utaonana na viongozi wa wabebaji watakupangia genge na kuanza kazi .kazi zipo kibao ushindwe wewe tu
 
nenda sunda investment kipo ubungo shekilango utaona jingo limeandikwa UBUNGO BUSINESS PARK!😎
 
Back
Top Bottom