Viwanda vya roketi vya Ukraine vyakumbwa na mashambulizi ya anga - Urusi

Shujaa Mwendazake

JF-Expert Member
Jul 11, 2015
3,734
6,292
Maeneo yanayozalisha injini na ‘ammunitions’ yalilengwa, Wizara ya Ulinzi inasema

Jeshi la wanaanga la Urusi limeshambulia viwanda vya roketi mashariki mwa Ukraine na kuharibu makao makuu ya mamluki, Wizara ya Ulinzi imesema.

Wizara ilisema katika muhtasari wake wa kila siku mnamo Ijumaa kwamba kiwanda cha injini za makombora huko Pavlograd kiligongwa, pamoja na ‘floor’ tatu za duka za kiwanda cha Kommunar huko Kharkov ambazo zilitengeneza vifaa vya kurushia roketi nyingi.

Ndege za Urusi na vikosi vya ardhini pia vilishambulia ‘command centres’ tano na kufanya shambulio la kombora kwenye makao makuu ya "moja ya vitengo vya mamluki wa kigeni" karibu na mji wa kusini wa Nikolaev, wizara hiyo ilisema.

Imeongeza kuwa kombora tisa zilizorushwa kutoka kwa mifumo ya M142 HIMARS zilizotengenezwa Marekani na tatu zilizorushwa kutoka kwa mfumo wa BM-27 Uragan ziliharibiwa angani katika Mkoa wa Kherson nchini Urusi.

Moscow iliongeza mashambulizi mjini Kyiv na kwingineko nchini Ukraine mwezi uliopita, na kuharibu mitambo ya nishati ya joto na njia za umeme, kati ya malengo mengine.

Rais Vladimir Putin alisema kushadidi kwa mashambulizi hayo ni kulipiza kisasi kwa "mashambulizi ya kigaidi" ya Kyiv katika ardhi ya Urusi, ikiwa ni pamoja na shambulio la lori lililoharibu daraja la kimkakati linalounganisha Rasi ya Crimea na Bara la Urusi.
 
Sasa hivi jeshi la Ukraine lina uhakika wa kuwalambisha mchanga wanajeshi zaidi ya 700 wa urusi kila siku..,hii ni kutokana na ukweli kwamba wale mobilized soldiers wameshaingia front line.., hawa ni rahis sana kuwaweka kwenye mtego na kuwanywa mithiri ya kumbikumbi

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
 
Maeneo yanayozalisha injini na ‘ammunitions’ yalilengwa, Wizara ya Ulinzi inasema

Jeshi la wanaanga la Urusi limeshambulia viwanda vya roketi mashariki mwa Ukraine na kuharibu makao makuu ya mamluki, Wizara ya Ulinzi imesema.

Wizara ilisema katika muhtasari wake wa kila siku mnamo Ijumaa kwamba kiwanda cha injini za makombora huko Pavlograd kiligongwa, pamoja na ‘floor’ tatu za duka za kiwanda cha Kommunar huko Kharkov ambazo zilitengeneza vifaa vya kurushia roketi nyingi.

Ndege za Urusi na vikosi vya ardhini pia vilishambulia ‘command centres’ tano na kufanya shambulio la kombora kwenye makao makuu ya "moja ya vitengo vya mamluki wa kigeni" karibu na mji wa kusini wa Nikolaev, wizara hiyo ilisema.

Imeongeza kuwa kombora tisa zilizorushwa kutoka kwa mifumo ya M142 HIMARS zilizotengenezwa Marekani na tatu zilizorushwa kutoka kwa mfumo wa BM-27 Uragan ziliharibiwa angani katika Mkoa wa Kherson nchini Urusi.

Moscow iliongeza mashambulizi mjini Kyiv na kwingineko nchini Ukraine mwezi uliopita, na kuharibu mitambo ya nishati ya joto na njia za umeme, kati ya malengo mengine.

Rais Vladimir Putin alisema kushadidi kwa mashambulizi hayo ni kulipiza kisasi kwa "mashambulizi ya kigaidi" ya Kyiv katika ardhi ya Urusi, ikiwa ni pamoja na shambulio la lori lililoharibu daraja la kimkakati linalounganisha Rasi ya Crimea na Bara la Urusi.
Russia itahakikisha Ukraine wanabaki na silaha za jadi tu
images-6.jpg
 
Sasa hivi jeshi la Ukraine lina uhakika wa kuwalambisha mchanga wanajeshi zaidi ya 700 wa urusi kila siku..,hii ni kutokana na ukweli kwamba wale mobilized soldiers wameshaingia front line.., hawa ni rahis sana kuwaweka kwenye mtego na kuwanywa mithiri ya kumbikumbi

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app

Offensive Kherson haijaisha tu??
 
Usipende kuharibu mada ya mwenzio.
Ni vema ungeanzisha mada Yako juu ya swali lako.
Hata hivyo naweza kukusaidia kwa kusema kua Ndio ni kweli Tanzania inatengeneza silaha zake.
Kiwanda kipo morogoro kinaitwa Mzinga.
Sasa hapo uliponijibu umepungukiwa na nini? Au kipi kimeharibika? Kuna watu wanazingua Sana ila wao wenyewe wanajiona wako perfect sana
 
Back
Top Bottom