stormryder
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 2,449
- 3,087
Dunia ina Miaka billion 4.5 binadamu ameanza kuwa intelligent kama Miaka million 2 na ushehe hivi...Dunia ina umri gani? Kwani mabadiliko ya hali ya hewa ni nini? Mabadiliko uhusisha kupanda na kushuka. Ila naona umeegamia upande wa siasa sana
Una ujuzi wowote kuhusu hali ya hewa? Hata kama si mkubwa angalau wa kuelewa jinsi ambavyo hali ya hewa inavyoathiriwa na shughuli za kibinadamu.Dunia ina Miaka billion 4.5 binadamu ameanza kuwa intelligent kama Miaka million 2 na ushehe hivi...
Binadamu ameanza shughuli za viwanda na maendeleo yote unayoona Leo yanamiaka kama 600 tu, mfano magari yameeanza kama Miaka ya 1900s only last 100 years ago...
Miaka 600 kwako haitoshi kuharibu mazingira?Dunia ina Miaka billion 4.5 binadamu ameanza kuwa intelligent kama Miaka million 2 na ushehe hivi...
Binadamu ameanza shughuli za viwanda na maendeleo yote unayoona Leo yanamiaka kama 600 tu, mfano magari yameeanza kama Miaka ya 1900s only last 100 years ago...
Ok... Tujadili kisayansi.. Rodinia au Pangea kipi kilianzaNataka kujua hayo matukio tofauti ni yapi?
Mimi ni Geologist na nimesoma Environmental Geology+History of the Earth(Nakushangaa ukisema binadamu hahusiki kwenye climate change), naomb nijulishe hayo matukio
Sina ujuzi wa hali ya hewa ila Nina ujuzi wa Physics.Una ujuzi wowote kuhusu hali ya hewa? Hata kama si mkubwa angalau wa kuelewa jinsi ambavyo hali ya hewa inavyoathiriwa na shughuli za kibinadamu.
Pangaea kwangu ni kama fallacy tu! Sihamini chochote kuhusu evolution na jinsi vitu vilivyobadilika na kufikia hapa tulipo kama havina backup ya kutosha.Ok... Tujadili kisayansi.. Rodinia au Pangea kipi kilianza
Sina ujuzi wa hali ya hewa ila Nina ujuzi wa Physics.
At some point in time solar system ilikuwa very young and very unstable na Dunia yetu ilikuwa inagongana na Sayari zingine ndogo ndogo, mfano Theia iliyosababisha kutokea mwezi, katika vipindi hivi Dunia Ndio ilikuwa na active geological activities.
Kitu ambacho Watu wengi hamzungumzii ni kuwa natural occuring activities kama Volcanic erraption zinachangia kwa kiwango kikubwa kuzalisha greenhouse gases kuliko human activities, Ndio maana Venus is very hot kuliko any planet on solar system, sababu at some point in time ilipata very big Volcanic erraption iliyochangia greenhouse gases kwenye ozone layer yake
Miaka 600 ni mingi sana kwetu binadamu ila kwenye scale ya Dunia na solar system au hayo mabadiliko ni Miaka michache sana,
RodiniaOk... Tujadili kisayansi.. Rodinia au Pangea kipi kilianza
Sasa kama huamini Sayansi kwa nini unaamini Climate changePangaea kwangu ni kama fallacy tu! Sihamini chochote kuhusu evolution na jinsi vitu vilivyobadilika na kufikia hapa tulipo kama havina backup ya kutosha.
Unaposoma kuhusu jambo husika hautakiwi kupotezea jambo ambalo linatokea hata kama linatokea kwa kiwango kidogo. Kwani kulipuka kwa volkano hutokea kila mara kama ambavyo magari yanatoa hewa ukaa kwenda angani?
Mkuu si mara ya mwaza global warming kutokea. Ilishatokea 92 million years ago hata kabka ya binadamu kuwepo. Wengine wanadai dunia ínapítia mzunguko ambapo hali hubadilika hata bila binadamu kuhusika.Vp kuhusu barafu zinazo yeyuka huko Kwenye ncha za dunia+kuongezeka kwa Kina cha bahari?
So Kipindi hichi ndio wakati Dunia ilikuwa Geologocial activities nyingi na temperature nyingi kuliko sasaRodinia
Miaka 4.5 huh?Climate change is hoax, dunia ina Miaka 4.5 haijapata hiyo shida how come sisi tuje kuharibu...
Kwa scale ya Dunia sisi ni kama mchwa
4.5 billionsMiaka 4.5 huh?
wewe umewahi kwenda huko kwenye ncha ya dunia?Nimeshangaa. Hata mimi ananishangaza kwa kushindwa kuelewa jambo kama hili ambalo ni la kawaida sana.
Very Genius,,,,,hata mimi ndivyo niaminivoClimate change is hoax, dunia ina Miaka 4.5 billions haijapata hiyo shida how come sisi tuje kuharibu...
Kwa scale ya Dunia sisi ni kama mchwa