Aliyekwambia tunahitaji kuifikia Dar nani? Sisi tunajenga Jiji letu kivyetu hata hizo ramani zenu hatuzitaki, jiji la kiangazi, masika vinyesi Jiji zima! ukisikia mafuriko Dodoma Ni kwamba hatuna jinsi sio yenu ya kujitakia, subiri muone. niishie hapo