Viumbe 10 Vyenye Sumu Zaidi Hapa Duniani

Viumbe 10 Vyenye Sumu Zaidi Hapa Duniani

Huyo puffer fish ni hatari sana kuna namna yake ya kumpika ukikosea kidogo tu ni akhera moja kwa moja
 
c68211bb655d4c1124972b86b4fab387.jpg
Mbona huyu hayumo?
 
Chief hujui tu, huyo analiwa kama kawaida, kwenye matumbo yake kuna vitu vinatolewa, then analiwa kama kawa
Hukunielewa. Nimemaanisha akiwa baharini hakuna kiumbe yoyote wa baharini anaeweza kumla kwa sababu ya miba yake...
Au hujui swamaki walana wao kwa wao shekhe?
 
Hukunielewa. Nimemaanisha akiwa baharini hakuna kiumbe yoyote wa baharini anaeweza kumla kwa sababu ya miba yake...

Jifunze kuwaza kwa mapana
Ungeandika hivyo ningekujibu hivyo, hukuandika neno baharini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom