Chama cha Ukombozi wa Umma kimemteua kada wake Vitus Nkuna kupeperusha bendera ya chama hicho kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu (2025) kwa nafasi ya Ubunge wa Jimbo la Iringa mjini
Naibu Katibu Mkuu wa CHAUMMA Tanzania Bara Benson Kigaila amemtangaza Nkuna kugombea nafasi hiyo katika mkutano wake na wanahabari uliofanyika Agosti 24.2025, mkutano uliokuwa na dhamira ya kutangaza majina ya awali ya wagombea wa nafasi za Ubunge wa majimbo mbalimbali ya Tanzania Bara
Naibu Katibu Mkuu wa CHAUMMA Tanzania Bara Benson Kigaila amemtangaza Nkuna kugombea nafasi hiyo katika mkutano wake na wanahabari uliofanyika Agosti 24.2025, mkutano uliokuwa na dhamira ya kutangaza majina ya awali ya wagombea wa nafasi za Ubunge wa majimbo mbalimbali ya Tanzania Bara