VITUO VYA Tv vyanunuliwa dhidi ya LOWASA

VITUO VYA Tv vyanunuliwa dhidi ya LOWASA

hivi unaweza kuzuia mafuriko kwa mikono? watu kila siku wanawasha tv ili wamuone tu lowasa, hata wasio na tv wanauza walivyonavyo wanunue tv ili wawe wanamuangalia lowasa. kwa sasaivi tv inayomwonyesha lowasa ndiyo itakayotazamwa na wengi zaidi. Mungu akikunyoshea mkono wabaya wako hata wafanyeje wanajisumbua tu.
 
huku kwetu hakukuwa na umeme tanesco wananiudhi kweli. Hiki sio kipindi ambacho umeme ungepaswa kukosekana kabisa,
ni kipindi muhimu cha wananchi kuwasikiliza wagombea na kuamu kwa vizuri nani wampe kura,
lkn serikali yetu kila kitu kisuri wako kinyume nacho

Subiri kampeni zianze.
 
ITV habari nyingine kabisa hawaachagi za Ukawa
 
Waliojiandikisha 23miliion unapoteZa muda na mafuriko ya watu 10,000 Akili nyingine ni mafuta taa
 
Walimu nao wameamka, wamemjibu ----- JPM aliyeropoka ahadi utumbo eti kila mwalim atapata laptop ili kuinua kiwango cha elimu, yan amekosa vipaumbele mpaka anakurupuka na kuropoka pumba. Na bado...
Hawataki laptop, wanataka maisha bora ambayo CCM wameshndwa kuwaletea waTZ kwa muda wote madarakani pamoja na mbwembwe zoote za maisha bora kwa kila mtz, ari, nguvu na kasi mpya. Vyote vimekuwa upuuzi mtupu. Sasa niwasihi wote wenye nia ya mabadiliko tunayoyahtaji yataanzia kwny kura Oct25. Pigia kura UKAWA...

binafsi niwapongeze sana hao waalimu..unapewa laptop ukaitumie kwa betri au??boresha kwanza miundombinu ie.umeme wa uhakika vijijini,makazi bora,mshaara bora,alafu ndo umpe hiyo laptop
 
subiri kampeni zianze.

ccm chama changu nakipenda lakini rais wangu ni lowasa tu. Nafuta kauli yangu ya awali kabla ya mchakato wa kumpata rais kupitia cmm kule dodoma. Rais ajae ni lowasa. Viva ukawa viva lowasa
 
Back
Top Bottom