Unatumaliza kwa mapishi yako bibie haya tu mimi ninakuja nipo njiani....
sina hicho chuma cha kuchomea tu!!
Unatumaliza kwa mapishi yako bibie haya tu mimi ninakuja nipo njiani....
maduka ya huko huko shost?Mie nlihangaika kutafuta nimepata dukani tena kilikua kimoja tu...
maduka ya huko huko shost?
Hii sijawahi kuisikia aisee asante kwa maujuzi. Mwenzenu chuma changu kinakamata kweli nikipika vitumbua vinatoka kwa bahati sasa huenda hata hivo vitumbua vya kawaida siviwezi kwani niliangalia youtube nkajaribu siku ya kwanza vikatoka lkn siku nyengine vikanigomea.
Ninakuja na ndege nipo mjini London nitafika huko kwako kesho asuıbuhi ningojee usilale tu maana wewe kwakupenda kulala mapema kazi kweli ipo.Aahhahahaha hio njia ya wapi usofika?
Ninakuja na ndege nipo mjini London nitafika huko kwako kesho asuıbuhi ningojee usilale tu maana wewe kwakupenda kulala mapema kazi kweli ipo.
Hii sijawahi kuisikia aisee asante kwa maujuzi. Mwenzenu chuma changu kinakamata kweli nikipika vitumbua vinatoka kwa bahati sasa huenda hata hivo vitumbua vya kawaida siviwezi kwani niliangalia youtube nkajaribu siku ya kwanza vikatoka lkn siku nyengine vikanigomea.
Naomba mualiko nije kujilia vitumbua vya kuku...
Hii sijawahi kuisikia aisee asante kwa maujuzi. Mwenzenu chuma changu kinakamata kweli nikipika vitumbua vinatoka kwa bahati sasa huenda hata hivo vitumbua vya kawaida siviwezi kwani niliangalia youtube nkajaribu siku ya kwanza vikatoka lkn siku nyengine vikanigomea.
Mahitaji
1)Kuku
2)kitunguu maji 1
3)kitunguu saumu 1 teaspoon
4)tangawizi 1 teaspoon
5)pilipili manga 1 teaspoon
6)pilipili mboga 1
7)baking powder 1 teaspoon
8)mafuta ya kupikia
9)chumvi kiasi
10)mayai 5-6
Namna ya kutaarisha
1)chemsha kuku,weka chumvi,kitunguu saumu na tangawizi...
2)akishawiva vizuri,chambua kuku wako na kumtoa mifupa...
3)weka kwenye blenda kuku,kitunguu maji,pilipili mboga,mayai,chumvi na pilipili manga.....saga kiasi..
4)weka kwenye bakuli safi na uweke baking powder...
5)weka chuma cha kuchomea kwenye jiko
6)fanya kama unavyopika vitumbua vya kawaida
Vitumbua vya kuku tayari kwa kuliwa..