Vituko vya Wema Sepetu ...huyu tena!!

Vituko vya Wema Sepetu ...huyu tena!!

Biashara matangazo bana,hapo kashawanasa wanaume wenye tamaa kama za fisi maji..
 
Nani anamkula sasahivi?

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
acheni kumnanga, tena nyie mnaomnaga ndio maudenda yanawatoka. she is cute kwa yule ampendae. kuna watu wana matumbo ka mito, hawathubutu hata kuvua nguo mbele ya waume zao kukiwa na mwanga! muacheni wema, lol!

Siku zote huwa ananichefua lakini leo nahisi kama kaniteka fulani hivi,yaani lile tumbo jinsi linavyounyanyasa mustakabali wangu wa hisia dume ni kupita maelezo!
 
mmh.......macho hayana pazia,dada wa mtu huyo.....kweli izi engilish medium zina faida na hasara zake!!!!!!
 
Siku zote huwa ananichefua lakini leo nahisi kama kaniteka fulani hivi,yaani lile tumbo jinsi linavyounyanyasa mustakabali wangu wa hisia dume ni kupita maelezo!
yaani wewe kama mimi dah ila kwa jinsi alivyowapanga hata kama wanasema haina makombo mimi hapana, maana mijitu mia nane,
 
Back
Top Bottom