Babu sea
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 957
- 758
nyie watu wa west mshaanza kuleta urojo wenu hum kumbuka raisi mzuri ni yule anayeweza kuondoa extremist je unajua majirani wa uzbekistan ni maextrimist ambao ni pakistan na afghanistan .Nakushauri mtoa mada uwe unasoma historia ya pakistan na afghanstan ili uondoe jiwe la ujinga kichwani mwako