Blood of Jesus Christ
JF-Expert Member
- May 3, 2014
- 617
- 1,122
Huu Uzi umenichekesha sana nimesoma Mwanzo mwisho japo ni WA zamani sana @mshanajr Mimi sijawahi kukaa mwananyamala ila niliwahi kukaa kinondoni shamba napo kwa muda mfupi unamjua haji mkambi? Alikua mwizi balaa ingawa alishafariki yeye na wenzake wa walipigwa tukio viwanja vya Biafra na wananchi wenye hasira Kali it was around 2008 au 2009.
nasikia matukio yao walikua wanapiga nyamala enzi hizo? Aliwahi nikosa kosa Alafu nilikua mwanafunzi maskini bahati nzuri walitokea watu wananijua na wanamjua wakamwambia haji huyu mdogo etu ole wako, iwe Mwanzo na mwisho na uwaambie wenzio wote asiguswe huyu😃😃😃😃
nasikia matukio yao walikua wanapiga nyamala enzi hizo? Aliwahi nikosa kosa Alafu nilikua mwanafunzi maskini bahati nzuri walitokea watu wananijua na wanamjua wakamwambia haji huyu mdogo etu ole wako, iwe Mwanzo na mwisho na uwaambie wenzio wote asiguswe huyu😃😃😃😃