Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Ok napita sana ila sijui wapi ni wapi. Nakumbuka kuna sista du mmoja alikuwa anakaa kule mbele njia inapozunguka kwa mama zakaria sijui, yeye anasema nakaa kijitonyama, ukimwambia hapa nyamala hataki kabisa!
Ahahhah kwa mama zakari ni mwananyamala kuna wezi huko kijitonyama ilikua inaanzia makumbusho shule ya msingi kuendelea
 
Dr.Marwa pale kwa Manyanya eti anatibu kuku kwa dawa asilia. Anatibu ukimwi na mengine mengi
 
We msukule wa ccm na ww upo huku
Jingalao kwenye huu uzi ameonesha nidhamu ya hali ya juu, unataka umtibue tuanze kubadili mada na kusababisha ban zisizo na msingi.
Siasa ni siasa tu but mwisho wa siku sote ni ndugu na ndio maana tunafurahi pamoja kwenye huu uzi bila kuingizia itikadi zetu.
 
Daaah bora ungeliuaga chief hahaha ila ungekua keko saiv bure sana lile jamaa
Ata hio issue ilinisumbua kidogo jamii yake ilikuja juu sana ni vile mzee wangu alikuwa anakubalika sana issue ikaenda kindugu ndugu mpaka ikapoa kabisa wakati huo nipo zenji na nimeanza na school kabisa maana nilimpa nakozi za fasata km tatu hivi kidevu na kati moja akaangukia kisogo mtu mwenyewe alikuwa dhaifu shoga tu so akamwaga sana damu pale kila mtu akatoka mbio e neo lile watu walijua amekufa
 
Shoga albino alikuwepo mwanyamala very smart pale kamanyola bar...ibrahm kipofu anatembea mwendo mrefu pembezoni mwa road bila ya kuguswa na gari wala baiskel kufata madada poa kwa wahaya..kuna kinunga nae albino huyu alikuwa anacheza mpira balaa
Dah! Nimemkumbuka bhana huyo albino
 
Samahani mkuu hivi bi mkubwa wako aliwahi kuwa mjumbe?
 
Mkuu niunganishe na raia anayepush phone 6+
 
mwembechai timu yako ilikuwa ipi KAGERA RANGERA au MESSINA ya mtaa kondoa
kombe la kinesi hiyo
fainali kagera na messina penart ya mwisho tunaangalia nje ya uzio wa mabati maana lazima ngumi zilike
MAMAANGU mdogo alikuwa anakaa NYUMA ya gholofa kongwe so nilikuwa nakuja sana magomeni weekend kwa brozangu
hicho kidaraja ukishavuka unatokea uwanja wa rasco ukipandisha juu unatokea ngilangwa au kwa jolijo mnavuka mto ng'ombe noma sana hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…