Source please otherwise treat and we will treat this just as a mere gossip.
anasema hakuingia Ikulu kwa karatasi na hawezi kuondoka kwa karatasi
Hivi Majuzi Nilikua Zim, na katika moja ya Mkutano wake na waandishi wa Habari, Mr Zim RM aliwazingua waandishi kwa swali lao la kizushi na akawapa majibu ya Kizushi
Mwandishi:
Mr President, When are you going to say Goodbye to your People?
Mugabe:
Where are they Going?