Vituko vya Mugabe kwa Waandishi....

Amavubi

JF-Expert Member
Dec 9, 2010
30,142
13,216
Hivi Majuzi Nilikua Zim, na katika moja ya Mkutano wake na waandishi wa Habari, Mr Zim RM aliwazingua waandishi kwa swali lao la kizushi na akawapa majibu ya Kizushi

Mwandishi:

Mr President, When are you going to say Goodbye to your People?

Mugabe:

Where are they Going?
 
Hivi Majuzi Nilikua Zim, na katika moja ya Mkutano wake na waandishi wa Habari, Mr Zim RM aliwazingua waandishi kwa swali lao la kizushi na akawapa majibu ya Kizushi

Mwandishi:

Mr President, When are you going to say Goodbye to your People?

Mugabe:

Where are they Going?

to hell.
 
Nampenda sana babu mugabe, naona grace kamuongezea sana siku za kuishi akimfariji ipasavyo
 
Hivi Majuzi Nilikua Zim, na katika moja ya Mkutano wake na waandishi wa Habari, Mr Zim RM aliwazingua waandishi kwa swali lao la kizushi na akawapa majibu ya Kizushi

Mwandishi:

Mr President, When are you going to say Goodbye to your People?

Mugabe:

Where are they Going?

Jongwe juu.

The only True Son of Africa in the game....
Teh teh teh.....
 
Robert Gabriel Mugabe sio dhaifu kama Jakaya Mrisho Kikwete
Hivi Majuzi Nilikua Zim, na katika moja ya Mkutano wake na waandishi wa Habari, Mr Zim RM aliwazingua waandishi kwa swali lao la kizushi na akawapa majibu ya Kizushi

Mwandishi:

Mr President, When are you going to say Goodbye to your People?

Mugabe:

Where are they Going?
 
sina hakika kama ni wa kusifi hivi.

Alipigania uhuru? Ndio, mchango wake unakubalika? Ndio, je ameweza kuwafikisha wazimbwabwe watakapo? Sidhani, je yeye ndio anafaa kuongoza hadi kufa? Hapana.

Kama Fidel Castro, anamteua kaka yeye yuko kitandani.
 
walau amekua na uthubutu
sina hakika kama ni wa kusifi hivi.

Alipigania uhuru? Ndio, mchango wake unakubalika? Ndio, je ameweza kuwafikisha wazimbwabwe watakapo? Sidhani, je yeye ndio anafaa kuongoza hadi kufa? Hapana.

Kama Fidel Castro, anamteua kaka yeye yuko kitandani.
 
Back
Top Bottom