Yana ukweli hayo?Mi nimefanya kazi sana humo mortuary, na nilikuwa naweka bia zangu ndani ya Frigi za marehemu na zikipata ubaridi nakunywa taratiiiibu, ila kuna mademu bomba wanakufaga wanacheka, wakimleta bado wa motomoto dah! Ni shida!
Taratibu za kazi zinaruhusu kweli? Vipi na ile harufu ya maiti na yale madawa ya formaline? Kiuhalisia ni ngumuMi nimefanya kazi sana humo mortuary, na nilikuwa naweka bia zangu ndani ya Frigi za marehemu na zikipata ubaridi nakunywa taratiiiibu, ila kuna mademu bomba wanakufaga wanacheka, wakimleta bado wa motomoto dah! Ni shida!
hahaha hii imenifanya ni cheke,Kama mtu alikuwa malaya kwenye uhai wake hata akifa maiti yake huwa na pozi zile zile.
hahaha hii imenifanya ni cheke,
btw pamoja na yote you have my respect nawaheshimu sana jamaa wanao au walio wahikufanya kazi humo sijui nisemaje bt mm huwa nawachukulia kama mashujaa wakipekee
zaidi ya ndugu damn i just cant find the right way to explain it bt nnaappreciate your sacrifice
Rudi kuya hapa
Sasa Mshana ana kosa gani?Mshana, I respect you much brother but this is not fair,no health personal who is allowed kutoa izo siri ikiwa za patient, client au hata deadbody, don't act like a kid brother u are grown up enough, don't do this please...
Njoo tulale wote naogopa...Sasa Mshana ana kosa gani?
Kukwambia,ukifa utakojoa kwenye kabati la maiti ndo unaogopa?
Hakuna maiti itakuja kumshtaki kwa kutoa siri zake,we lala acha woga.
Nakuja egeshea mlango tuuNjoo tulale wote naogopa...
Mmmh kwa hili uhakika zeronasikia wahudumu akiwa binti mrembo hawachelewi kumchezea