HarakatiNews
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 218
- 187
Sina nia ya kubeza utendaji wa mkuu huo wa mkoa lakini tangu aanze kazi vituko vyake vinashangaza umma kwa kuwa viko vingi.baadhi katika picha na video nitakuwa nakuletea kimoja baada ya kingine.Hapa ni ili utazame kama kweli tunahitaji kuwa na vyeo hivi vya wakuu wa mkoa.
1:Mkuu wa Mkoa abomoa ngome ya CHADEMA Rutoro
Hii ni habari kubwa iliyopewa kipaumbele na redio za kijamii pamoja na mitandao ya mkoani kagera,kwamba alipofika katika ziara ya kutatua mgogoro wa ardhi katika eneo hilo pamoja na mambo mengine ametumia nafasi hiyo kuomba walioko upinzani kurejesha kadi zao na waliohitikia walizikusaya na kumpatia.kwamba hati kusikia habari za upinzani katika mkoa wake.Tazama picha
2:RC mpya Kagera afuta siku ya Usafi iliyoanzishwa na RC Masawe
Mkuu mpya wa Mkoa John Mongela amefuta uatartibu wa kufanya usafi kila alhamisi ulioasisiwa na mtangulizi wake Fabian Masawe.Amekaririwa akisema 'kazi ya kuafanya uasafi ni ya mabwana na mabibi afya' siwezi kufanya uasafi mimi,nina majukumu ya maana.
3: Kituko no 3:
Mkuu wa Mkoa wa Kagera ameagiza watumishi wote wa ofisi yake bila kujali dini zake kushiriki katika suala la usafi wa jumuhiya kila JUMAPILI kuanzia saa 1:30 asubuhi katika hospitali ya mkoa.kila mtumishi afike na jembe,fagio nk. agizo hilo limeanza utekelezwa licha ya waumini wa dini ya kikristo kulalamikia hali hiyo
4:Kituko no 4
Mkuu wa mkoa jana ametangaza rasmi kuwa yeye ni mkuu bora kuliko waliomtangulia,anawashangaa kwa kutoleta maendeleo ya kagera kama atakavyofanya yeye....
Vituko vipo 35.Nitakuwa nakupalia kimoja baada ya kingine
1:Mkuu wa Mkoa abomoa ngome ya CHADEMA Rutoro
Hii ni habari kubwa iliyopewa kipaumbele na redio za kijamii pamoja na mitandao ya mkoani kagera,kwamba alipofika katika ziara ya kutatua mgogoro wa ardhi katika eneo hilo pamoja na mambo mengine ametumia nafasi hiyo kuomba walioko upinzani kurejesha kadi zao na waliohitikia walizikusaya na kumpatia.kwamba hati kusikia habari za upinzani katika mkoa wake.Tazama picha
2:RC mpya Kagera afuta siku ya Usafi iliyoanzishwa na RC Masawe
Mkuu mpya wa Mkoa John Mongela amefuta uatartibu wa kufanya usafi kila alhamisi ulioasisiwa na mtangulizi wake Fabian Masawe.Amekaririwa akisema 'kazi ya kuafanya uasafi ni ya mabwana na mabibi afya' siwezi kufanya uasafi mimi,nina majukumu ya maana.
3: Kituko no 3:
Mkuu wa Mkoa wa Kagera ameagiza watumishi wote wa ofisi yake bila kujali dini zake kushiriki katika suala la usafi wa jumuhiya kila JUMAPILI kuanzia saa 1:30 asubuhi katika hospitali ya mkoa.kila mtumishi afike na jembe,fagio nk. agizo hilo limeanza utekelezwa licha ya waumini wa dini ya kikristo kulalamikia hali hiyo
4:Kituko no 4
Mkuu wa mkoa jana ametangaza rasmi kuwa yeye ni mkuu bora kuliko waliomtangulia,anawashangaa kwa kutoleta maendeleo ya kagera kama atakavyofanya yeye....
Vituko vipo 35.Nitakuwa nakupalia kimoja baada ya kingine