Mkuu huyo mama itakuwa ndio mbinu zake za dhuluma
Mana utasusa uachie nyumba uache na kodi
Na ukisema umkule ukute ni kambinu na mumewe pia kitakachotokea ile anazama ndani mumewe huyooo(mjini mipango) hapo ndo utafukuzwa na unaweza amrishwa kuacha kila kitu(fumanizi tena)
Sasa ww ukijilegeza tu umekwisha cha kufanya mkazie na mrekodi kila mkiongea ,, kisha mwambie namwambia mumeo
Ukiona hatetereki wala haachi kukusumbua jua ni mbinu yao ,utakachofanya cha mwisho kwa kuwa unaushahidi utaenda serikali za mtaa utamshtaki na kurudishiwa kodi yako na gharama ya kuhamisha vitu uhame
Usikubali manyanyaso ya kingono
Kuna watakao kubeza ila ni haki yako kufanya kwa ridhaa yako si kushinikizwa!
Sent using
Jamii Forums mobile app