Swaaafi but mkulu aliyasoma kweli?
Swaaafi but mkulu aliyasoma kweli?
Kama kawaida yake.Najua ameyasoma ila atakuwa amewapuuza
Mabango yaliyosisimua wasomaji katika maandamano ya wafanyakazi mbeya ni kama ifuatavyo;
- WALIMU WALIKUJKA NA MPYA KWA KUSEMA " FUKAMA KWA MAANA YA " FUNDISHA KADIRI YA MALIPO"
- PUNGUZA MISHAHARA ONGEZA KODI YA MAPATO
- MISHAHARA DUNI NI JANGA LA TAIFA
Unadhani shida yake ni kusoma? Anajua kusoma hadi kichina. Kutenda!
Mabango yaliyosisimua wasomaji katika maandamano ya wafanyakazi mbeya ni kama ifuatavyo;
- WALIMU WALIKUJKA NA MPYA KWA KUSEMA " FUKAMA KWA MAANA YA " FUNDISHA KADIRI YA MALIPO"
- PUNGUZA MISHAHARA ONGEZA KODI YA MAPATO
- MISHAHARA DUNI NI JANGA LA TAIFA
Natumai itakuwa Ongeza Mishahara, Punguza Kodi ya Mapato (PAYE)Mabango yaliyosisimua wasomaji katika maandamano ya wafanyakazi mbeya ni kama ifuatavyo;
- WALIMU WALIKUJKA NA MPYA KWA KUSEMA " FUKAMA KWA MAANA YA " FUNDISHA KADIRI YA MALIPO"
- PUNGUZA MISHAHARA ONGEZA KODI YA MAPATO
- MISHAHARA DUNI NI JANGA LA TAIFA
una hakika anajua kusoma kichina? Mbona unazungumza kimahaba ya chama zaidi kuliko hatma ya taifa?
Mabango yaliyosisimua wasomaji katika maandamano ya wafanyakazi mbeya ni kama ifuatavyo;
- WALIMU WALIKUJKA NA MPYA KWA KUSEMA " FUKAMA KWA MAANA YA " FUNDISHA KADIRI YA MALIPO"
- PUNGUZA MISHAHARA ONGEZA KODI YA MAPATO
- MISHAHARA DUNI NI JANGA LA TAIFA
Mabango yaliyosisimua wasomaji katika maandamano ya wafanyakazi mbeya ni kama ifuatavyo;
- WALIMU WALIKUJKA NA MPYA KWA KUSEMA " FUKAMA KWA MAANA YA " FUNDISHA KADIRI YA MALIPO"
- PUNGUZA MISHAHARA ONGEZA KODI YA MAPATO
- MISHAHARA DUNI NI JANGA LA TAIFA