Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 43,037
- 34,741
Katika daladala mama mmoja alitaka kumnyonyesha mtoto wake.
Mtoto akakataa!
Mama akamwambia "nyonya
kama hutaki nampa Anko anyonye" (Anko ni kaka mmoja abiria aliyekaa na huyo mama pembeni).
Mtoto akanyonya kidogo akaacha!
Mama akamtishia tena kumpa Anko!
Ndipo yule kaka kwa hamaki akasema ''Mama uwe na msimamo. Unajua nimepitiliza vituo
vinne kwa ajili yako, hebu kuwa mkweli! Utanipa ninyonye au nishuke?"
Je wewe Unashauri vipi kuhusu huyu (Anko)?aendelee na basi au ashuke???
Mtoto akakataa!
Mama akamwambia "nyonya
kama hutaki nampa Anko anyonye" (Anko ni kaka mmoja abiria aliyekaa na huyo mama pembeni).
Mtoto akanyonya kidogo akaacha!
Mama akamtishia tena kumpa Anko!
Ndipo yule kaka kwa hamaki akasema ''Mama uwe na msimamo. Unajua nimepitiliza vituo
vinne kwa ajili yako, hebu kuwa mkweli! Utanipa ninyonye au nishuke?"
Je wewe Unashauri vipi kuhusu huyu (Anko)?aendelee na basi au ashuke???