Digital Marketer
Senior Member
- May 1, 2019
- 112
- 149
Hii ni thread special kwa vituko vya daladala
Leo bhana....
Yale maeneo ya Gongo la mboto..gari ya posta mnazi ikawa imefika....kwakeli nashukuru nilipanda mwanzoni uko....
Limefika tu...wajameni wakadandia mlango...konda afungui kwasababu lulikua na traffic....
Watu wamedandia tu...mara konda akafungua mlango....
Nikategemea watu wataingia...ila chakushangaza wamebaki wanavutana pale malangoni kama dakika kumi hivi...akuna anaeingia...
Kiukweli nilishindwa vumilia ikabidi nicheke...na jirani yangu akaanza kucheka....
Kwakweli sio poa kugombania magari....sijui ni serikali ama watu binafsi waliangalie ili swala la USAfiri wa Gomez....
Ila kiukweli daladala kuna vituko....hata nikipata usafiri binafsi laZima nidandie daladala mara moja moja nicheke....
Haya zamu yenu sasa...andika kituko cha daladala tuongeze maisha ya kuishi.