Vituko vya kwenye Daladala

asee
nilipigwa ki pepsi cha mdomo katka purukushani, jamaa akawah akapata seat kuingia akaniomba msamaha akanipisha kwenye kiti akataka kunipa hela nikamwambia asihof, nashuka mawenzi mdomo km jaba naingia saloon wa dada wanacheka, nikatoka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom