Habari zenu wakuu,.
Kwa wale wafuatiliaji wa mambo mtagundua ya kwamba,.
Katika tangazo la Clouds lenye rekodi ya sauti ya Mh. Rais Jakaya Kikwete akizungumzia fursa limefanyiwa editing na kuondolewa ile sehemu ambayo Rais alisikika akimsfia Ruge Mutahaba wa Clouds,.
Napata maswali mengi ya kujiuliza katika hili tangazo,.
1.Clouds wameshindwa kuwa wabunifu mpaka wameamua kuigeuza sauti ya Rais kama mtaji wao?
2.Mbona Mh. Rais anaposikika akizungumza katika media nyingine yanaishia hapo hapo na sauti ya Rais haitumiwi katika kuipa Promo kampuni husika?
3.Hivi ni kweli Clouds wana wafuasi wengi kama alivyonadi Mh Rais ukilinganisha na media nyingine??
''Clouds acheni ulimbukeni''
acha ujingaHabari zenu wakuu,.
Kwa wale wafuatiliaji wa mambo mtagundua ya kwamba,.
Katika tangazo la Clouds lenye rekodi ya sauti ya Mh. Rais Jakaya Kikwete akizungumzia fursa limefanyiwa editing na kuondolewa ile sehemu ambayo Rais alisikika akimsfia Ruge Mutahaba wa Clouds,.
Napata maswali mengi ya kujiuliza katika hili tangazo,.
1.Clouds wameshindwa kuwa wabunifu mpaka wameamua kuigeuza sauti ya Rais kama mtaji wao?
2.Mbona Mh. Rais anaposikika akizungumza katika media nyingine yanaishia hapo hapo na sauti ya Rais haitumiwi katika kuipa Promo kampuni husika?
3.Hivi ni kweli Clouds wana wafuasi wengi kama alivyonadi Mh Rais ukilinganisha na media nyingine??
''Clouds acheni ulimbukeni''
Inaonyesha huwezi kutofautisha kati ya T na FRadio Ya Wafu!
Weka picha!
Habari zenu wakuu,.
Kwa wale wafuatiliaji wa mambo mtagundua ya kwamba,.
Katika tangazo la Clouds lenye rekodi ya sauti ya Mh. Rais Jakaya Kikwete akizungumzia fursa limefanyiwa editing na kuondolewa ile sehemu ambayo Rais alisikika akimsfia Ruge Mutahaba wa Clouds,.
Napata maswali mengi ya kujiuliza katika hili tangazo,.
1.Clouds wameshindwa kuwa wabunifu mpaka wameamua kuigeuza sauti ya Rais kama mtaji wao?
2.Mbona Mh. Rais anaposikika akizungumza katika media nyingine yanaishia hapo hapo na sauti ya Rais haitumiwi katika kuipa Promo kampuni husika?
3.Hivi ni kweli Clouds wana wafuasi wengi kama alivyonadi Mh Rais ukilinganisha na media nyingine??
''Clouds acheni ulimbukeni''
chakii acha wivuuu ukiona hata wewe unaizingumzia clouds na unafuatilia details hadi details ujue unaipenda sana, tena tokea moyoni sema una kachembe kawivu. Nakushauri nawe uanzishe media yako halafu itafute sauti ya raisi akisifie halafu uitunze kwenye record zako. CHANGE IS YOU.AND START FROM YOU