Vituko na vimbwanga kwenye vikao vya ndoa

Vituko na vimbwanga kwenye vikao vya ndoa

tena nyie na mahari wanaichukua wazazi waupande wamke wakati sie kidini mahari ni haki ya mke
Sisi Wakristo tuna mlolongo sana kwenye ndoa ila
Waislam wako simple mkuu nakumbuka kuna classmates wasuni chuoni hapo SUA walioana wakiwa chuoni na hadi leo wako pamoja
 
yani uwe mwislam utake harusi ya kifahari ni umependa hatuna makuu kabisa,

Waislam wengi wameingia huu mtego wa wakristo.

Naona harusi nyingi za kiislam zinaenda ukumbini siku hizi. Bajeti mamilioni kibao
 
Wanawake wenye akili hizo hamtongozwi na wanaume wa aina hizo.

Nyinyi mnapambana na kina sisi waunga unga maisha tu. Ambao hata harusi ya milioni 1 bado tunaipinga
Aisee hiyo Hela wanipe tu tupike chai na maandazi harusi ipite Kuna hajagani kufanya harusi ya mamilion alafu mkitoka honey mnakula ugali dagaa😂
 
Waislam wengi wameingia huu mtego wa wakristo.

Naona harusi nyingi za kiislam zinaenda ukumbini siku hizi. Bajeti mamilioni kibao
yeah sku hizi watu wanataka ufahari ukienda ukumbini ni hio kuwapa watu kula tu hamna cha maana, kwa sis uende usiende ndoa ni hiohio ubani upite
 
Back
Top Bottom