Vituko na madhaifu ya artificial intelligence (AI)

Vituko na madhaifu ya artificial intelligence (AI)

Trainee

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2018
Posts
3,024
Reaction score
4,031
Mkiambiwa hakuna cha kumzidi akili binadamu mjue hakuna kwelikweli. Huyu jamaa wanamwita akili Mnemba au kwa lugha ya kuzoeleka zaidi akili bandia kwakweli ana vituko sana. Nitaweka hapa baadhi ya madhaifu yake ucheke kidogo na wewe

Jamaa kwenye kufikiri ni mtupu sana yaani ukimpa ngoma inayohitaji reasoning kidogo tu anachemka. Mfano kwenye mahesabu jamaa alichomeza ni kanuni tu kwahiyo ukimpa swali ukalichezesha kidogo tu lazima aende o.p

Huyu jamaa pia nimetambua anakariri na hataki kuwa nyumbufu kwenye kile anachokijua. Nimemchalenji kidogo tu kwenye maswala ya muda wa miji na jotoridi jamaa akapotea vibaya. Yaani kwa kuwa Dar tunatumia GMT +3 basi ukichezesha kidogo ukamtajia nyuzi za longitudo tofauti na 45°E basi jamaa kwenye calculation zake yeye anatumia 45°E.

Jamaa anasema hawezi kuchunguza picha akaichambua. Nilimpa picha mbili nikamwambia aangalie kama picha hizo ni mtu mmoja au watu wawili tofauti akabaki kujing'atang'ata tu. Nikamwuliza kama anaweza kutambua ukubwa halisi wa objects zilizopo katika picha akadai ataweza lakini mpaka apewe vitu fulani fulani ambapo nikiangalia nakuta vitu hivyo vyote ukivipata inakuwa haina haja ya kumtumia tena yeye maana kila kitu unamaliza

Kwa ufupi wanaomtegemea huyu jamaa wawe makini sana kwani anaweza kukupeleka chaka moja kwa moja kama utaamua kuweka akili yako kando na kumtegemea yeye. Nimemjaribu mara nyingi sana na vitu vingi sana kwa namna na muda tofauti tofauti. Nimejaribu ChatGPT, Ask AI, Chatbot AI

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, jamaa yupo vizuri kwenye lugha na historia japo sijamjaribu sana kwenye nyanja hizo.
 

Attachments

  • Screenshot_20240818-174504.png
    Screenshot_20240818-174504.png
    76.1 KB · Views: 18
  • Screenshot_20240820-162526.png
    Screenshot_20240820-162526.png
    120.2 KB · Views: 24
  • Screenshot_20240818-173445.png
    Screenshot_20240818-173445.png
    127 KB · Views: 20
  • Screenshot_20240818-173435.png
    Screenshot_20240818-173435.png
    188.3 KB · Views: 21
  • Screenshot_20240820-162547.png
    Screenshot_20240820-162547.png
    108.9 KB · Views: 19
  • Screenshot_20240820-162808.png
    Screenshot_20240820-162808.png
    127.7 KB · Views: 23
Kwa wanaosema Kwamba ARTIFICIAL INTELIGENCE (AI) imezidi ufahamu wa binadamu hawajitambui...kwa sababu ili AI izidi uwezo wa binadamu ni lazima iwe imtengenezwa na viumbe wengine wasio Binadamu..ile kwamba imetengenezwa na binadamu ina maana bado ni akili za kibinadamu.
 
Kwa wanaosema Kwamba ARTIFICIAL INTELIGENCE (AI) imezidi ufahamu wa binadamu hawajitambui...kwa sababu ili AI izidi uwezo wa binadamu ni lazima iwe imtengenezwa na viumbe wengine wasio Binadamu..ile kwamba imetengenezwa na binadamu ina maana bado ni akili za kibinadamu.
Haijazidi ufahamu but its faster than human mind
 
Mkiambiwa hakuna cha kumzidi akili binadamu mjue hakuna kwelikweli. Huyu jamaa wanamwita akili Mnemba au kwa lugha ya kuzoeleka zaidi akili bandia kwakweli ana vituko sana. Nitaweka hapa baadhi ya madhaifu yake ucheke kidogo na wewe

Jamaa kwenye kufikiri ni mtupu sana yaani ukimpa ngoma inayohitaji reasoning kidogo tu anachemka. Mfano kwenye mahesabu jamaa alichomeza ni kanuni tu kwahiyo ukimpa swali ukalichezesha kidogo tu lazima aende o.p

Huyu jamaa pia nimetambua anakariri na hataki kuwa nyumbufu kwenye kile anachokijua. Nimemchalenji kidogo tu kwenye maswala ya muda wa miji na jotoridi jamaa akapotea vibaya. Yaani kwa kuwa Dar tunatumia GMT +3 basi ukichezesha kidogo ukamtajia nyuzi za longitudo tofauti na 45°E basi jamaa kwenye calculation zake yeye anatumia 45°E.

Jamaa anasema hawezi kuchunguza picha akaichambua. Nilimpa picha mbili nikamwambia aangalie kama picha hizo ni mtu mmoja au watu wawili tofauti akabaki kujing'atang'ata tu. Nikamwuliza kama anaweza kutambua ukubwa halisi wa objects zilizopo katika picha akadai ataweza lakini mpaka apewe vitu fulani fulani ambapo nikiangalia nakuta vitu hivyo vyote ukivipata inakuwa haina haja ya kumtumia tena yeye maana kila kitu unamaliza

Kwa ufupi wanaomtegemea huyu jamaa wawe makini sana kwani anaweza kukupeleka chaka moja kwa moja kama utaamua kuweka akili yako kando na kumtegemea yeye. Nimemjaribu mara nyingi sana na vitu vingi sana kwa namna na muda tofauti tofauti. Nimejaribu ChatGPT, Ask AI, Chatbot AI

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, jamaa yupo vizuri kwenye lugha na historia japo sijamjaribu sana kwenye nyanja hizo.
Ai haitokuwa perfect kuliko binadamu, but it wil get better, kwa sasa iko katika hatua zake za kwanza, ad miaka inazidi kwenda itaboreka zaidi
 
Hakuna anayesema AI inazidi akili ya binadamu kilakitu, ila kwa baadhi ya mambo inazidi,

mfano: uwezo wa kusoma maandishi marefu sana na kusumarize kilichoandikwa,
speed na uwezo wa kutunga vitu mbalimbali kwa namna tofauti,

Mahesabu common na lugha ya Computer, kwanini wewe uichalange kuchengesha maswali wakati yenyewe ni kwaajili ya kusaidia sio kushindana ?

alafu Chatgtp ipo vizuri zaidi kwenye lugha kiingereza
 
Mkiambiwa hakuna cha kumzidi akili binadamu mjue hakuna kwelikweli. Huyu jamaa wanamwita akili Mnemba au kwa lugha ya kuzoeleka zaidi akili bandia kwakweli ana vituko sana. Nitaweka hapa baadhi ya madhaifu yake ucheke kidogo na wewe

Jamaa kwenye kufikiri ni mtupu sana yaani ukimpa ngoma inayohitaji reasoning kidogo tu anachemka. Mfano kwenye mahesabu jamaa alichomeza ni kanuni tu kwahiyo ukimpa swali ukalichezesha kidogo tu lazima aende o.p

Huyu jamaa pia nimetambua anakariri na hataki kuwa nyumbufu kwenye kile anachokijua. Nimemchalenji kidogo tu kwenye maswala ya muda wa miji na jotoridi jamaa akapotea vibaya. Yaani kwa kuwa Dar tunatumia GMT +3 basi ukichezesha kidogo ukamtajia nyuzi za longitudo tofauti na 45°E basi jamaa kwenye calculation zake yeye anatumia 45°E.

Jamaa anasema hawezi kuchunguza picha akaichambua. Nilimpa picha mbili nikamwambia aangalie kama picha hizo ni mtu mmoja au watu wawili tofauti akabaki kujing'atang'ata tu. Nikamwuliza kama anaweza kutambua ukubwa halisi wa objects zilizopo katika picha akadai ataweza lakini mpaka apewe vitu fulani fulani ambapo nikiangalia nakuta vitu hivyo vyote ukivipata inakuwa haina haja ya kumtumia tena yeye maana kila kitu unamaliza

Kwa ufupi wanaomtegemea huyu jamaa wawe makini sana kwani anaweza kukupeleka chaka moja kwa moja kama utaamua kuweka akili yako kando na kumtegemea yeye. Nimemjaribu mara nyingi sana na vitu vingi sana kwa namna na muda tofauti tofauti. Nimejaribu ChatGPT, Ask AI, Chatbot AI

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, jamaa yupo vizuri kwenye lugha na historia japo sijamjaribu sana kwenye nyanja hizo.
mh zisi iz afrika
 
But its Human mind..
Boss, Wanaposema inamzidi akili binadamu sio hao waliotengeneza ni binadamu wa tabata segerea sijui tanga au mbeya na wanaofanana nao.
Hii kitu kila siku inaboreshwa na ni suala la muda itanyang'anya kazi binadamu.
 
Basi hujaelewa kazi na matumizi ya AI,kila inavyozidi kukosea,ndio inazidi kua bora, after miaka 50 Itakua matatizo,..mimi nawewe ndio tuna ifundisha..kila unavyoitumia ndio inazidi kua sahii..mwaka jana tu haikua inajibu kwa kiswahili what about now
 
Hakuna anayesema AI inazidi akili ya binadamu kilakitu, ila kwa baadhi ya mambo inazidi,

mfano: uwezo wa kusoma maandishi marefu sana na kusumarize kilichoandikwa,
speed na uwezo wa kutunga vitu mbalimbali kwa namna tofauti,

Mahesabu common na lugha ya Computer, kwanini wewe uichalange kuchengesha maswali wakati yenyewe ni kwaajili ya kusaidia sio kushindana ?

alafu Chatgtp ipo vizuri zaidi kwenye lugha kiingereza
Screenshot_20240830-094613_1.jpg
Maajabu ya Ai
 
Mkiambiwa hakuna cha kumzidi akili binadamu mjue hakuna kwelikweli. Huyu jamaa wanamwita akili Mnemba au kwa lugha ya kuzoeleka zaidi akili bandia kwakweli ana vituko sana. Nitaweka hapa baadhi ya madhaifu yake ucheke kidogo na wewe

Jamaa kwenye kufikiri ni mtupu sana yaani ukimpa ngoma inayohitaji reasoning kidogo tu anachemka. Mfano kwenye mahesabu jamaa alichomeza ni kanuni tu kwahiyo ukimpa swali ukalichezesha kidogo tu lazima aende o.p

Huyu jamaa pia nimetambua anakariri na hataki kuwa nyumbufu kwenye kile anachokijua. Nimemchalenji kidogo tu kwenye maswala ya muda wa miji na jotoridi jamaa akapotea vibaya. Yaani kwa kuwa Dar tunatumia GMT +3 basi ukichezesha kidogo ukamtajia nyuzi za longitudo tofauti na 45°E basi jamaa kwenye calculation zake yeye anatumia 45°E.

Jamaa anasema hawezi kuchunguza picha akaichambua. Nilimpa picha mbili nikamwambia aangalie kama picha hizo ni mtu mmoja au watu wawili tofauti akabaki kujing'atang'ata tu. Nikamwuliza kama anaweza kutambua ukubwa halisi wa objects zilizopo katika picha akadai ataweza lakini mpaka apewe vitu fulani fulani ambapo nikiangalia nakuta vitu hivyo vyote ukivipata inakuwa haina haja ya kumtumia tena yeye maana kila kitu unamaliza

Kwa ufupi wanaomtegemea huyu jamaa wawe makini sana kwani anaweza kukupeleka chaka moja kwa moja kama utaamua kuweka akili yako kando na kumtegemea yeye. Nimemjaribu mara nyingi sana na vitu vingi sana kwa namna na muda tofauti tofauti. Nimejaribu ChatGPT, Ask AI, Chatbot AI

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, jamaa yupo vizuri kwenye lugha na historia japo sijamjaribu sana kwenye nyanja hizo.
Screenshot_20240830-094617_1.jpg

Imagine dude linatengeneza kitu kama hiki, Respect Prompt Engineers. Kama unataka accuracy zaidi tumia chatGpt paid version ya 4.0 na sio 3.5
 
Boss, Wanaposema inamzidi akili binadamu sio hao waliotengeneza ni binadamu wa tabata segerea sijui tanga au mbeya na wanaofanana nao.
Hii kitu kila siku inaboreshwa na ni suala la muda itanyang'anya kazi binadamu.
Imeshaanza kunyang'anya kazi za photographers,
Screenshot_20240830-094613_1.jpg
 
Back
Top Bottom