Wakristo Israeli ni 1.9% tu na mwaka huu wahafidhina walipendekeza kupiga marufuku kutajwa kwa jina la Yesu kama Masihi.
Na Mwakasege siyo prosperity preacher. Huo ni uwanja wa akina Mwamposa, Gwajima, Mwingira na huu utitiri wa mitume na manabii. Mwakasege ni mwalimu!
View attachment 2781898View attachment 2781899