Vituko mitandaoni. Tupia chako

Afrika na umasikini wake imelala halafu inafurahia vita kulikoni?
Waswahili husema "Ndugu wakigombana chukua jembe ukalime, wakipatana chukua kapu ukavune".
Russia na Ukraine ni ndugu wa damu, lakini ushawishi wa Ronald Reagan kwa Gorbachev umevuruga undugu wa watu hawa.

Leo wameamua kuchapana ili kupata suluhisho la mgawanyo wa vinu vyao vya Nuclear , sisi masikini wa Afrika tufanye nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ