Vituko mitandaoni. Tupia chako

Ata mie nina iman kali,si lazima uwe taliban, sawa?
Ebu kwanza nicheke mie 🤣🤣🤣🤣 wewe .wenye kutuwekea vituko vya matako mra kuchapiwa hakuepikiki, sijui kushare mbususu hakukwepeki...ndio mwenye imani kali 🤣🤣🤣🤣
Ebu wacheni wataliban wenye imani yao, nyie wengine waigizaji tuu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]imani ninayo moyoni si ya maandishi hapa bro[emoji16], mie ni mtu wa imani na nusu[emoji2442]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]imani ninayo moyoni si ya maandishi hapa bro[emoji16], mie ni mtu wa imani na nusu[emoji2442]
Mwee ndio zenu hizo imani ya moyoni🤣🤣🤣🤣
Imani ya moyoni inadhihirishwa na vitendo, mwendo wako mzima maishani na yale unayo waza, kusema na kuandika.
Msitanie nyie wataliban wana imani kali sio hizo somjo zenu
 
Mwee ndio zenu hizo imani ya moyoni[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Imani ya moyoni inadhihirishwa na vitendo, mwendo wako mzima maishani na yale unayo waza, kusema na kuandika.
Msitanie nyie wataliban wana imani kali sio hizo somjo zenu
[emoji2442][emoji2442][emoji2442][emoji2442]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…