Vituko mitandaoni. Tupia chako

Exactly, mkuu

Kazi yangu imeisha hiyo, lengo ilikuwa ni kuwa maarufu

Na of course hawataki nitoe reaction, ila sina shida nao

Lengo limetimia lakini
Hapo nimekuelewa...

Kama malengo yako yameshatimia hapo poa.

Una kitu utafika mbali maishani maana mbinu uliyoitumia ili kuwa maarufu hapa tena kwa muda mfupi zaidi ni njia ya kipekee sana.

You have an indomitable spirit young man....πŸ‘πŸ‘πŸ‘
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†, sawa babu 😁😁😁
 
leo weekend mkuu tafuta pisi ujilipue 😁😁
Naogopa ukimwi, gono, na laana

Hii baridi najua itapita na wengi, mi nacheza bolingo tu, huu msimu wa baridi, michezo ya chini sipo huko kwa sasa.

Mkuu ukimwi upo kaa chonjo mkuu,

Shimba ya Buyenze vitu vyako πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡



mshamba_hachekwi mi nipo huku πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Bolingo tamu asee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…