Imekuwa vigumu sana. Sababu ya hizi simu people have lost the ability to have meaningful and attentive conversations. Unatoka na mtu out ukidhani kuwa mtapata quality time muongee lakini kila dakika yupo kwenye simu yake. Sad
Ile Taarifa ya kale kabinti ndio inajibiwa hapa, it's so sad that General hakubali kuna shida ktk jeshi lake na Yuko tayari kurekebisha, hatuwezi kwenda mbele bila kujirekebisha kwanza
Maana Ph.D hazina uhusiano wa moja kwa moja na ustawi wa kiuchumi. Ndo maana ukifika tu pale stendi kuu mjini Bukoba unaona kuwa kuna kitu hakiko sawa japo huko vijijini ndani ndani wamejitahidi πππππΏββοΈππΏββοΈππΏββοΈππΏββοΈ