Vituko mitandaoni. Tupia chako

Kama ni hivyo dada zao wasingejaa mwananyamala.
Hiyo ni ishu nyingine!

Maana Ph.D hazina uhusiano wa moja kwa moja na ustawi wa kiuchumi. Ndo maana ukifika tu pale stendi kuu mjini Bukoba unaona kuwa kuna kitu hakiko sawa japo huko vijijini ndani ndani wamejitahidi πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸƒπŸΏβ€β™‚οΈπŸƒπŸΏβ€β™‚οΈπŸƒπŸΏβ€β™‚οΈπŸƒπŸΏβ€β™‚οΈ

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…