Out of the topic....๐
๐
๐
Kwani wahehe kitandani wakoje....๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Ila bana, mi nilivalishwa shanga wakati niko mdogo zile za kutenga nyonga na tumbo hazi zikakatika zenyewe....
Tangu hapo shangazi akaniambia, hata usipozivaa ukubwani kikubwa mpaka wako wa tumbo na kiuno unaonekana hasa wakati wa kulima, sebeneka shangazi.......
Oooh nimesahau kumbe wake za watu ndo wanavaa shanga, mweeh, nimekosea acha nirudi nilikotoka...๐คช.