Vituko mitandaoni. Tupia chako



Out of the topic....๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…

Kwani wahehe kitandani wakoje....๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Ila bana, mi nilivalishwa shanga wakati niko mdogo zile za kutenga nyonga na tumbo hazi zikakatika zenyewe....

Tangu hapo shangazi akaniambia, hata usipozivaa ukubwani kikubwa mpaka wako wa tumbo na kiuno unaonekana hasa wakati wa kulima, sebeneka shangazi.......

Oooh nimesahau kumbe wake za watu ndo wanavaa shanga, mweeh, nimekosea acha nirudi nilikotoka...๐Ÿคช.
 
Makamba ni Lieutenant na sio Lieutenant Canal wacha kumpa cheo,
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ