Mtu unasafisha ghetto mpaka linang'aa
Unanunua vitu vya msingi
Unajiandaa kisaikolojia
Hela za matumizi na "nauli" yake ya kurudia.
Unafakamia sijui karanga, tende na upuuzi mwingine
Unakoga na kujisopusopu vizuri mpaka unatumia cologne yako ambayo huwa huigusi hovyo hovyo...
Una-cancel appointments zote siku hiyo....
Unaomba mpaka Mungu Akusamehe tu maana hakuna namna!
Halafu mtu haji dah!