Vituko mitandaoni. Tupia chako

Hakuna taasis inayoweza kukubal kubadili kipengele km hicho
 
Asante... Namshukuru Mungu Nimetoka salama
Nimepata Baby Girl
..
Ubaya wako huwa hauko siriazi....

Kama ni kweli basi hongera sana na Mungu Ashukuriwe maana shughuli ya leba naijua. Nilishawahi kushawishiwa kuingia huko na ilibidi tu wanitoe maana hali ilikuwa tete na badala ya kushughulika na mzazi ilibidi washughulike na mie. Ndo maana hata siku moja hutanikuta nikimsema vibaya mwanamke...

Hebu kimalaika hicho na kibarikiwe sana kikawe na busara kama mama yake...
 
Mantiki kengeufu....

Dhahabu ni natural resource...

Bangi ni juhudi zako....

Na umepanda makusudi huku ukijua ni kinyume cha sheria.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…