Vituko mitandaoni. Tupia chako

Kiliwapata nini hao ndugu zako?

Walikuwa wamekwenda kupiga mishe gani? 😁😳
Walienda kupiga biashara mkuu ya kilimo cha matikiti na viazi aseeee walipigwa na vitu vizito sana kichwani

wenzao wanauza magunia wao wanaambulia hasara tu na wote wamelima sehemu 1 mazao yanaharibika tu wenzao yananawiri,,,,

kuja kufuatilia jamaa 1 waliyekutana nae huko akawauliza swali 1 :
je mlivyokuja huku mlijipanga????

Ikaishia hapo,,,,,,,,

yaani mtaji wa X million uliisha ikabidi wapewe naulli ya kurudi moshi

Wenzio wamepiga faida ya 6m+ wao hola na wote waliopiga faida ni wa huko huko mwanza na kanda ya ziwa wote huko

Daah nikaaminigi hivi vitu vipo 😒😒😒 so sad
 

Waambie siku nyingine wakienda waongee na wenyeji...hasa hasa wazee...

Mi niliendaga sehemu Singida ndani ndani huko nikaulizia wazee wa kuongea nao nikaelekezwa kwa Bi. Kizee mmoja anayeogopwa eti mchawi. Niliongea naye sana na tukaishia kuwa marafiki wazuri mno hata leo nikifika anaacha shughuli zake zote ananisikiliza. Na kitu kilichonipeleka huko kilikwenda vizuri mno kuzidi hata wenyeji 😁😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…