Vituko mitandaoni. Tupia chako

James Maxwell equations ndiyo zilionyesha kwamba umeme na sumaku ni kitu kile kile na ndizo ziliweka misingi ya mashine na injini zote za kisasa zinazotumia umeme.

Wanasema ukiachilia mbali likitabu la Isaac Newton PRINCIPIA, Maxwell Equations pengine ndiyo andiko linalofuatia kwa umuhimu wake katika uwanja wa sayansi...halafu yanafuatia maandiko ya yule kijana karani wa kawaida tu katika ofisi ya hatimiliki aliyeishangaza dunia mwaka 1905 alipochapisha makala tatu zilizoibadilisha dunia kiasi kwamba mpaka leo mwaka 1905 unajulikana kama mwaka wa miujiza katika sayansi.
 
Ooooh maxwell nimekumbuka sasa si mambo ya maxwell cork screw rule na ma left hand rule

Sawasawa electromagnetism niliikimbiaga form 4 nikakutana nayo form 6 ilinibidi tu niipige πŸ₯΅πŸ₯΅πŸ₯΅πŸ₯΅ huyu maxwell nishampata


Hiyo ya 1905 ilikuwa noma sana hats off πŸŽ©πŸ‘πŸ‘ kwake mchizi relativilty nimeitumia sana kwenye topic nyingi za physics asee

Alafu Einstein alikuwa mpenda papuchi balaaa πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜πŸ˜
 

Papuchi itabaki kuwa papuchi tu haina mpinzani hapa duniani....

Wakati alipomuoa cousin wake alikuwa na mchepuko pia. Barua zake za mapenzi kwa huo mchepuko nadhani ndiyo zimekuwa declassified sasa hivi...

Isaac Newton ndiyo wanasema hakuwahi kudeti na mwanamke mpaka wanamsingizia kwamba pengine alikuwa si ridhiki....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…