Vituko mitandaoni. Tupia chako

Karibu kila kitu cha kisayansi unachokitumia sasa hivi kimetokana na jamaa aliyeko hapa. Inaaminika hili ndilo kusanyiko la watu wenye akili lililowahi kutokea katika uwanja wa Sayansi....
Naamini ni kwenye uwanja wa dunia kwa ujumla hawa jamaa waligusa kila sekta mkuuu
1.umeme
2.technologia
3.mechanics yaani duuh ni full shida asee theory zao zimenitesa sana A level 😩😞😣😭
 
Naamini ni kwenye uwanja wa dunia kwa ujumla hawa jamaa waligusa kila sekta mkuuu
1.umeme
2.technologia
3.mechanics yaani duuh ni full shida asee theory zao zimenitesa sana A level 😩😞😣😭

Relativity na Quantum Mechanics...kila kitu yaani from the big things (universe, galaxies, stars, blackholes, supernovae...) to the small ones (nano particles, dark matter, dark energy, photons, planks, radioactivity...) jamaa wako hapo....

Angekuwepo na Isaac Newton na James Clark Maxwell basi list ingekamilika....
 
Huyu newton funga kazi nimeanza kumsoma class 5 kwenye forces mpaka namaliza form 6 nipo nae tu 😭😭😒😒 duuh nikasema ngoja nim hame nilipokuwa chuo

Jamaa ni another level asee huyo maxwell simkumbuki vizuri 😁😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…