Kuna msemo wanasema, wanawake kwa wanawake hatupendani, tunaoneana wivu, chuki, tunarudishana nyuma kimaendeleo n.k.
Ila..... wanaume kwa wanaume ndo eanafanyiana ukatili mbaya sana.....
Wa kuharibiana kinyeo...🤨🤨
Halafu wanasababisha sisi ke tunazidi kugombea me wachache wanaozidi kupungua kila siku...😏.
Wanaamini wakiwekeza kwa mshua, akipata K ikamzungushia uno feni atagawa mali zake kumbe hata mama akipelekewa moto anarithisha mali za mwanae mchana kweupeee....😅😅😅.