Shuka garage. Upande wa sheli ya victoria, unaambaa na huo ukuta kama unapandisha kibaranara uchwara. Road ya kwanza kulia kuna jamaa wanauza supu au kiepe kuna mama mmoja anapika misosi pale wamejaa wachaga tupu.
Huyo dada mwenye msambwanda ni muhudumia watu misosi.
Nenda kajionee mali ziko kwa mchanga
Dogo ni "msomi" na very smart lakini naona bado hajatulia maana kukukosea heshima au kukutukana bila sababu kwake wala siyo ishu. Wampe muda akue kidogo atakuja kutulia tu