Vituko mitandaoni. Tupia chako

Wasabato hatunywi soda

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Wasiokunywa ni wale wanamasalia ambao hawasuki hata nywele wala kuvaa aina yo yote ya urembo. Hawa ndo walitinga airport bila passport wala nauli....

Mimi ni Msabato lakini soda nazitandika na kile kinywaji kilichotengenezwa pale Kana ya Galilaya huwa nakipiga mara moja moja 😁😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…