Mambo 10 ambayo huwezi kufanya:
1. Huwezi kuosha Macho kwa Sabuni;
2. Huwezi kuhesabu nywele zako,
3. Huwezi kupumua kwa Pua na huku umetoa Ulimi;
4. Saivi Unajaribu kufanya namba 3
6. Umeona inawezekana, sanasana unakuwa Kama umbwa
7. Unatabasamu !
8. Umeruka namba 5;
9. Unahakikisha Kama kweli 5 haipo.
10. Unatabasamu kwa kuwa umebambwa!