Vituko mitandaoni. Tupia chako

Dancing is a vertical expression of the horizontal desire😝
 
Dancing is a vertical expression of the horizontal desire😝

Umemaliza kila kitu....!

Ukipatana na mupenzi wako wote mnapenda mziki, waaaiiiii......

Mnacheza ile mziki unaamsha vimeng’enya vyote mwilini halafu mkitoka hapo......

Ni kusukuma torori hadi gereji (wheel barrow) mnalala wepesiiii usingizi mnonoooo....! 😅😅😅
 

Mdada​

Jamaa alikuwa kwenye daladala pembeni kuna
dada mrembo kakaa. Kamlia timing kwa muda
kisha kaanzisha mazungumzo:
Jamaa: “Samahani dada, unaitwa Google?”.
Dada: “hapana, kwanini umedhani naitwa
hivyo?”.
Jamaa: “Una kila kitu nnachokitafuta😊
 

Mambo 10 ambayo huwezi kufanya:​

1. Huwezi kuosha Macho kwa Sabuni;
2. Huwezi kuhesabu nywele zako,

3. Huwezi kupumua kwa Pua na huku umetoa Ulimi;
4. Saivi Unajaribu kufanya namba 3
6. Umeona inawezekana, sanasana unakuwa Kama umbwa😁
7. Unatabasamu !
8. Umeruka namba 5;
9. Unahakikisha Kama kweli 5 haipo.
10. Unatabasamu kwa kuwa umebambwa!
 

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili​

MZUNGU: Hi, I need $100, will pay back on Monday

MSWAHILI: Kaka vipi, shwari? Dah.. hatuonani mzee, mishe vipi, mnatunyima nini huko? Juzi nimekuona kwa mbaaali… mzee shavu dodo, full kipupwe! Sie tupo bwana, shida tu, wife naye kajifungua ghafla. Sasa, kuna cheque naisubiria haijatoka hadi leo, wanasema itatoka next week, hapa nimekwama kweli. Naweza pata ‘Laki Moja’ ya karibu hapo nitarudisha mwisho wa mwezi huu…?

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…