Vituko mitandaoni. Tupia chako

sio kweli. Makahaba wanaliwa kwa sababu wana hisia na wateja wao? Utaniambia wapo kazini lakini mimi nitakuambia huo ni uthibitisho kuwa mwanamke anaweza kuliwa na mwanaume huyu na huku moyo wake unampenda mtu mwingine. Hata mwanamke anaweza kuliwa nje na heshima kwa mumewe ikabaki, ingekuwa ni hivyo basi wanawake wote wanaochepuka wangekuwa wanakamatwa maana hiyo dalili iko wazi. Lakini unaweza kuishi na mwanamke mkazaa watoto wa nne nusu wakawa damu yako nusu wa nje na ukakaa miaka mingi usijue.
Maelezo yote hayo sio kwamba nataka kuonyesha nani fundi wa kuchepuka zaidi ya mwenzie, point yangu ni kwamba kuchepuka ni jambo la kipumbavu haijalishi linatendwa na mwanaume au mwanamke...yeyote anayechepuka anamvunjia heshima mwenza wake period!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…