Vituko mahakamani.
Hakimu;unatuhumiwa Kwa kumuuwa nyati.
Mtumhumiwa:huyo nyati ni Mali ya nani?
Hakimu:Ni Mali ya wanainchi, lasilimali ya wanainchi.
Mtumhumiwa:Basi Mimi nimemuuwa wangu
Makato (tozo) unayokutana nayo benki unatamani bora ungehifadhi pesa zako kwenye kibubu tu...
WAKATI
Aliyeamua kutokuhifadhi fedha zake benki nae anakumbana na makato ya hatari katika matumizi yake ya kila siku mpaka anaona ni bora angeweka benki tu