Kipindi tupo advance tulikuwa na jamaa jembe kweli kweli, wakati sie tuko mbele tunavizia yeye huku nyuma yuko peke ake anakaba
labda na mwingine mmoja au wawili tu wakimsaidia jamaa alikuwa na nguvu kama hawafu!! Nakumbuka tulikuja kufungwa fainali kwa mbinde tukawa washindi wa pili.
Mwamba kuna siku hakuja shule tulimfata na boda mpaka nyumbani kwao tukaelekezwa yupo mbali tukamfata hukohuko aje aokoe jahazi