Vituko mitandaoni. Tupia chako

KiPOFU:
Sara anatoka kuoga bafuni akiwa na kanga moja tu anaskia hodi,
Kufungua mlango akakuta ni jirani yake Frank ambaye ni kipofu, akamkaribisha ndani akakaa.
Sara kavua ile kanga, akabaki uchi akainama akaanza kujipaka mafuta akijua Frank hamuoni na mazungumzo yakawa yanaendelea..
Sara: VIPI FRANK MBONA UMEPOTEA, YAANI HUONEKANI SIKU KiBAO..?
FRANK: AAH, NILIENDA INDIA KUFANYIWA OPERESHENI YA MACHO, NASHUKURU YAMEPONA, SASA HIVI NAONA VIZURI KABISAAA!β€¦πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸƒπŸ»πŸƒπŸ»πŸƒπŸ»πŸƒπŸ»πŸƒπŸ»"
 

Hisabati:​

Mzazi: Kwa nini unafeli sana somo la hisabati?
Mtoto: ulishasikia kuhusu kundi hatari la al-Qaeda?
Mzazi: ndiyo
Mtoto: na al-Shabaab je?
Mzazi: ndiyo, nilishasikia hao pia.
Mtoto: basi, ndani ya hisabati pia kuna kundi la al-GebraπŸ™„πŸ€”
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…