Barakate I have
JF-Expert Member
- Nov 16, 2021
- 736
- 667
Ni shogaKuna kitu hakiko sawa...aache kudanganya eti viatu vya kike vinampa upako. He should just come out of the closet...Si ajabu hata chupi anavaa za kike! [emoji706][emoji706][emoji706]
View attachment 2200769
Shetani ana huruma hatuchomi moto, Mungu atatuchoma pamoja na shetani.Alafu tufike hell tupate shetani alizeeka hawezi ata kuwasha moto[emoji3060][emoji3060][emoji122][emoji122][emoji122]
Nikweli,ila pia nikwasababu ya maslahi duni kazini
Bangi ya Malawi hii
FB bana [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Fesibuku 🤣🤣FB bana [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 2202451
Halafu yule boya anaunguza mafuta ya helikopta nchi nzima eti kuweka anuani za makazi kumbe utopolo mtupu. Hakuna kitu tunachoweza kukifanya kwa weledi na umakini kikaeleweka. Why?
Fesibuku ni ya kuacha kama ilivyo tu kwa sababu hakuna namna [emoji16][emoji16][emoji16]Fesibuku [emoji1787][emoji1787]
🤣🤣🤣Fesibuku ni ya kuacha kama ilivyo tukwa sababu hakuna namna [emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 2202455
🤣🤣🤣Nauye anakula nchiHalafu yule boya anaunguza mafuta ya helikopta nchi nzima eti kuweka anuani za makazi kumbe utopolo mtupu. Hakuna kitu tunachoweza kukifanya kwa weledi na umakini kikaeleweka. Why?
View attachment 2202454