Vituko mitandaoni. Tupia chako

Wanamcheka sana. Mara mtoto. Mara umasikini...kazi kweli kweli. Inaonekana hata yeye hakuwa makini kwa sababu kuna kipindi alikuwa anavuma sana. Na wenzake akina Uwoya mbona bado wanatamba tu na bata za kufa mtu? Yeye alikosea wapi?
Anajifelisha mwenyewe.
Ujuaji mwingi.

Ajiandae kuliwa mbususu na kila mtoto anayechipukia Kwenye sanaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…