Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,833
Ina maana Njombe Mgendera kila mtu ana hela au inakuwaje? Ila Wakinga kwa biashara nawaaminia [emoji122][emoji122][emoji122]Unakosa hela wakati ni mzaliwa mkoa wa Njombe?
Unafeli wapi madam.
Fursa kibaaao[emoji23][emoji23][emoji23]
Mtafute mshauri wa masuala ya Uchumi mkoani humo Dr Mwandilami jr[emoji23][emoji23][emoji23][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Siyo sahihi na zawadi imeshatolewa tayari [emoji16][emoji16][emoji16]Namba 9
Anajifelisha mwenyewe.Wanamcheka sana. Mara mtoto. Mara umasikini...kazi kweli kweli. Inaonekana hata yeye hakuwa makini kwa sababu kuna kipindi alikuwa anavuma sana. Na wenzake akina Uwoya mbona bado wanatamba tu na bata za kufa mtu? Yeye alikosea wapi?
Hahahahaha[emoji23][emoji23][emoji23]Uko sahihi lakini tayari binti wa Njombe Mgendera keshaiwahi...Ila wewe hata ungekuwa wa kwanza kupata jibu sahihi nisingekupa zawadi yangu ng'o! [emoji16][emoji16][emoji16]
Hujakutana na show za kibabe madam.Khaa...huwezi kushindana na ulipotoka. Never [emoji16] Utaishia kuumia mwenyewe
Umekosea ankoNamba 9
Mkoa wa Njombe kuna Wamanda, Wabena, Wawanji na Wakinga na vikabila vingine.Ina maana Njombe Mgendera kila mtu ana hela au inakuwaje? Ila Wakinga kwa biashara nawaaminia [emoji122][emoji122][emoji122]
Linatuhusu wawili siye[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwahiyo hilo dongo linawahusu wawili hao, au linamuhusu mwenye uzi tu?
Mtoa uzi kasemaje[emoji41]mawardat
Mshana Jr
hii comment nimeitoa mbali sana na nilicheki nusu ya kifo
Jukwaa ili huwa napita kila siku ila kimya kimya
View attachment 2103097
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] eeh mwandulami tena[emoji125][emoji125][emoji125]Unakosa hela wakati ni mzaliwa mkoa wa Njombe?
Unafeli wapi madam.
Fursa kibaaao[emoji23][emoji23][emoji23]
Mtafute mshauri wa masuala ya Uchumi mkoani humo Dr Mwandulami jr[emoji23][emoji23][emoji23][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Hawa mabinamu sipendi waje kwangu,watanimalizia chakula[emoji23]Lete chapati tisa,mandazi kumi na moja,mikate miwili,vitumbua sita na chai lita tatu[emoji16][emoji16][emoji16]View attachment 2103090
[emoji16][emoji16][emoji16] umechelewa wapi mpendwa ...watu tayari tupo kwa wakala hapaNamba 9
Nimeropoka tu,Godfrey!!!?
Ankali, funguka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dimpoz[emoji23][emoji23]
Naipenda hiyo[emoji173]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] unaweza kudhani unakomoa kumbe mwenzio ndio unamkuna kisawasawa shauriloHujakutana na show za kibabe madam.
We acha tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji24][emoji24][emoji24]Siyo sahihi na zawadi imeshatolewa tayari [emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16] umechelewa wapi mpendwa ...watu tayari tupo kwa wakala hapa
Dah!Hahahahaha[emoji23][emoji23][emoji23]
Zawadi yako sitaki bhana, mpe mkinga wako[emoji23][emoji23][emoji23]
Ya kwako inaendeleaje? Maana nyinyi wapenda kusuluhisha za wengine mara nyingi za kwenu zilishawashinda [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099]Wacha nikasuluhishe ndoa za watu huko[emoji2442][emoji2442][emoji2442]