Shimba ya Buyenze JF-Expert Member Joined Dec 22, 2014 Posts 183,582 Reaction score 1,105,402 Jan 31, 2022 #97,541 moudgulf said: Unakosa hela wakati ni mzaliwa mkoa wa Njombe? Unafeli wapi madam. Fursa kibaaao Mtafute mshauri wa masuala ya Uchumi mkoani humo Dr Mwandilami jr Click to expand... Ina maana Njombe Mgendera kila mtu ana hela au inakuwaje? Ila Wakinga kwa biashara nawaaminia
moudgulf said: Unakosa hela wakati ni mzaliwa mkoa wa Njombe? Unafeli wapi madam. Fursa kibaaao Mtafute mshauri wa masuala ya Uchumi mkoani humo Dr Mwandilami jr Click to expand... Ina maana Njombe Mgendera kila mtu ana hela au inakuwaje? Ila Wakinga kwa biashara nawaaminia
Shimba ya Buyenze JF-Expert Member Joined Dec 22, 2014 Posts 183,582 Reaction score 1,105,402 Jan 31, 2022 #97,542 mawardat said: Namba 9 Click to expand... Siyo sahihi na zawadi imeshatolewa tayari
moudgulf JF-Expert Member Joined Jan 23, 2017 Posts 156,152 Reaction score 770,272 Jan 31, 2022 #97,543 Shimba Ya Buyenze said: Wanamcheka sana. Mara mtoto. Mara umasikini...kazi kweli kweli. Inaonekana hata yeye hakuwa makini kwa sababu kuna kipindi alikuwa anavuma sana. Na wenzake akina Uwoya mbona bado wanatamba tu na bata za kufa mtu? Yeye alikosea wapi? Click to expand... Anajifelisha mwenyewe. Ujuaji mwingi. Ajiandae kuliwa mbususu na kila mtoto anayechipukia Kwenye sanaa.
Shimba Ya Buyenze said: Wanamcheka sana. Mara mtoto. Mara umasikini...kazi kweli kweli. Inaonekana hata yeye hakuwa makini kwa sababu kuna kipindi alikuwa anavuma sana. Na wenzake akina Uwoya mbona bado wanatamba tu na bata za kufa mtu? Yeye alikosea wapi? Click to expand... Anajifelisha mwenyewe. Ujuaji mwingi. Ajiandae kuliwa mbususu na kila mtoto anayechipukia Kwenye sanaa.
moudgulf JF-Expert Member Joined Jan 23, 2017 Posts 156,152 Reaction score 770,272 Jan 31, 2022 #97,544 Shimba Ya Buyenze said: Uko sahihi lakini tayari binti wa Njombe Mgendera keshaiwahi...Ila wewe hata ungekuwa wa kwanza kupata jibu sahihi nisingekupa zawadi yangu ng'o! Click to expand... Hahahahaha Zawadi yako sitaki bhana, mpe mkinga wako
Shimba Ya Buyenze said: Uko sahihi lakini tayari binti wa Njombe Mgendera keshaiwahi...Ila wewe hata ungekuwa wa kwanza kupata jibu sahihi nisingekupa zawadi yangu ng'o! Click to expand... Hahahahaha Zawadi yako sitaki bhana, mpe mkinga wako
moudgulf JF-Expert Member Joined Jan 23, 2017 Posts 156,152 Reaction score 770,272 Jan 31, 2022 #97,545 Khantwe said: Khaa...huwezi kushindana na ulipotoka. Never Utaishia kuumia mwenyewe Click to expand... Hujakutana na show za kibabe madam. We acha tu
Khantwe said: Khaa...huwezi kushindana na ulipotoka. Never Utaishia kuumia mwenyewe Click to expand... Hujakutana na show za kibabe madam. We acha tu
moudgulf JF-Expert Member Joined Jan 23, 2017 Posts 156,152 Reaction score 770,272 Jan 31, 2022 #97,546 mawardat said: Namba 9 Click to expand... Umekosea anko
moudgulf JF-Expert Member Joined Jan 23, 2017 Posts 156,152 Reaction score 770,272 Jan 31, 2022 #97,547 Shimba Ya Buyenze said: Ina maana Njombe Mgendera kila mtu ana hela au inakuwaje? Ila Wakinga kwa biashara nawaaminia Click to expand... Mkoa wa Njombe kuna Wamanda, Wabena, Wawanji na Wakinga na vikabila vingine. Hawa "Wakinga" hawaupendi Umasikini. Kwa hiyo wanachapa kazi kama vifoko. Wakifanikiwa wanaambiwa wachawi. Dunia haina jema
Shimba Ya Buyenze said: Ina maana Njombe Mgendera kila mtu ana hela au inakuwaje? Ila Wakinga kwa biashara nawaaminia Click to expand... Mkoa wa Njombe kuna Wamanda, Wabena, Wawanji na Wakinga na vikabila vingine. Hawa "Wakinga" hawaupendi Umasikini. Kwa hiyo wanachapa kazi kama vifoko. Wakifanikiwa wanaambiwa wachawi. Dunia haina jema
Mawardat JF-Expert Member Joined Apr 27, 2021 Posts 25,958 Reaction score 136,773 Jan 31, 2022 #97,548 moudgulf said: Kwahiyo hilo dongo linawahusu wawili hao, au linamuhusu mwenye uzi tu? Click to expand... Linatuhusu wawili siye
moudgulf said: Kwahiyo hilo dongo linawahusu wawili hao, au linamuhusu mwenye uzi tu? Click to expand... Linatuhusu wawili siye
Mawardat JF-Expert Member Joined Apr 27, 2021 Posts 25,958 Reaction score 136,773 Jan 31, 2022 #97,549 kajamaa kadogo said: mawardat Mshana Jr hii comment nimeitoa mbali sana na nilicheki nusu ya kifo Jukwaa ili huwa napita kila siku ila kimya kimya View attachment 2103097 Click to expand... Mtoa uzi kasemaje
kajamaa kadogo said: mawardat Mshana Jr hii comment nimeitoa mbali sana na nilicheki nusu ya kifo Jukwaa ili huwa napita kila siku ila kimya kimya View attachment 2103097 Click to expand... Mtoa uzi kasemaje
Khantwe JF-Expert Member Joined Dec 20, 2012 Posts 59,468 Reaction score 119,622 Jan 31, 2022 #97,550 moudgulf said: Unakosa hela wakati ni mzaliwa mkoa wa Njombe? Unafeli wapi madam. Fursa kibaaao Mtafute mshauri wa masuala ya Uchumi mkoani humo Dr Mwandulami jr Click to expand... eeh mwandulami tena
moudgulf said: Unakosa hela wakati ni mzaliwa mkoa wa Njombe? Unafeli wapi madam. Fursa kibaaao Mtafute mshauri wa masuala ya Uchumi mkoani humo Dr Mwandulami jr Click to expand... eeh mwandulami tena
Mawardat JF-Expert Member Joined Apr 27, 2021 Posts 25,958 Reaction score 136,773 Jan 31, 2022 #97,551 Behaviourist said: Lete chapati tisa,mandazi kumi na moja,mikate miwili,vitumbua sita na chai lita tatuView attachment 2103090 Click to expand... Hawa mabinamu sipendi waje kwangu,watanimalizia chakula
Behaviourist said: Lete chapati tisa,mandazi kumi na moja,mikate miwili,vitumbua sita na chai lita tatuView attachment 2103090 Click to expand... Hawa mabinamu sipendi waje kwangu,watanimalizia chakula
Khantwe JF-Expert Member Joined Dec 20, 2012 Posts 59,468 Reaction score 119,622 Jan 31, 2022 #97,552 mawardat said: Namba 9 Click to expand... umechelewa wapi mpendwa ...watu tayari tupo kwa wakala hapa
mawardat said: Namba 9 Click to expand... umechelewa wapi mpendwa ...watu tayari tupo kwa wakala hapa
Mawardat JF-Expert Member Joined Apr 27, 2021 Posts 25,958 Reaction score 136,773 Jan 31, 2022 #97,553 moudgulf said: Godfrey!!!? Ankali, funguka Click to expand... Nimeropoka tu,
Mawardat JF-Expert Member Joined Apr 27, 2021 Posts 25,958 Reaction score 136,773 Jan 31, 2022 #97,554 moudgulf said: Dimpoz Naipenda hiyo Click to expand...
Khantwe JF-Expert Member Joined Dec 20, 2012 Posts 59,468 Reaction score 119,622 Jan 31, 2022 #97,555 moudgulf said: Hujakutana na show za kibabe madam. We acha tu Click to expand... unaweza kudhani unakomoa kumbe mwenzio ndio unamkuna kisawasawa shaurilo
moudgulf said: Hujakutana na show za kibabe madam. We acha tu Click to expand... unaweza kudhani unakomoa kumbe mwenzio ndio unamkuna kisawasawa shaurilo
Mawardat JF-Expert Member Joined Apr 27, 2021 Posts 25,958 Reaction score 136,773 Jan 31, 2022 #97,556 Shimba Ya Buyenze said: Siyo sahihi na zawadi imeshatolewa tayari Click to expand...
Mawardat JF-Expert Member Joined Apr 27, 2021 Posts 25,958 Reaction score 136,773 Jan 31, 2022 #97,557 Khantwe said: umechelewa wapi mpendwa ...watu tayari tupo kwa wakala hapa Click to expand...
Mawardat JF-Expert Member Joined Apr 27, 2021 Posts 25,958 Reaction score 136,773 Jan 31, 2022 #97,558 Wacha nikasuluhishe ndoa za watu huko
Shimba ya Buyenze JF-Expert Member Joined Dec 22, 2014 Posts 183,582 Reaction score 1,105,402 Jan 31, 2022 #97,559 moudgulf said: Hahahahaha Zawadi yako sitaki bhana, mpe mkinga wako Click to expand... Dah!
Shimba ya Buyenze JF-Expert Member Joined Dec 22, 2014 Posts 183,582 Reaction score 1,105,402 Jan 31, 2022 #97,560 mawardat said: Wacha nikasuluhishe ndoa za watu huko Click to expand... Ya kwako inaendeleaje? Maana nyinyi wapenda kusuluhisha za wengine mara nyingi za kwenu zilishawashinda
mawardat said: Wacha nikasuluhishe ndoa za watu huko Click to expand... Ya kwako inaendeleaje? Maana nyinyi wapenda kusuluhisha za wengine mara nyingi za kwenu zilishawashinda