VICHAA WATATU walikuwa wanasafirishwa kutoka Iringa kwenda {Hospitali} Dodoma walipokuwa njian kundi la SIMBA likapita katikati ya barabara
DOCTOR akawauliza: nyie
Mmewaona SIMBA hao?
kichaa mmoja akacheka Ahaa! kisha akasema Kumbe hawa ndio simba?
DOCTOR: akajibu ndio simba
KICHAA wapili akasema kwaiyo pale chama na kagere wapo wapi.?
DOCTOR: Duuh! kweli huyu ndio kichaa haswaa
KICHAA wa tatu yeye alitabasamu baada ya kusoma sms hii.